Wanawake kwa hili mnafeli!

Usisahau kulazimisha kukuita MUME mbele za watu wakati hapa mahali mwanaume hujafikiria kutoa.
 
mkuu
YAMEKUKUTA AU


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hutaki kuitwa majina mazuri ilhali mko kwenye mahusiano? Tena kila siku unamwambia unampenda! Ataachaje kukuita hivyo na kukutambulisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa baharia mpunguze kuparamia kuna watu wana uchu na wanaume,
Siio lazima kua kwenye mahusiano kama hujui maana ya mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…