mmmmhhh!!kichina!!Ni hawa wanaojadili wanawake kila kukicha. .BADALA YA KUTAFUTA MBINU MAKINI YA KUTAFUTA PESA NA MAENDELEO. ..chaaa! These people are not watsoro pfo! Leka ngiende ambia wo mangi wo koru mbe Kanyi!
Wiki mbili kichwa hakioshwi ndo usafi huo?Rasta zisukwe wiki mbili, toa nywele osha, zikauke nywele zako suka mtindo mwingine, cjui kwa wengine ninapenda mke wangu asuke style tofaut tofaut wakat mwingine akae na nywele zake natural, ajirembe apendeze, mwanamke ni pambo LA nyumba kama ua warid linavyonukia c unakuta mwanamke hajipend, usafi wa mwili wake tatizo, sebulen utafikir stoo, chumban ndio kabisaa, hapo cye, mwanamke mwenye kujipenda Muda wote anavutia na hachujiiiiiiiii
Sa mbona mnajipendekeza pendekeza hadi mnavaa nusu uchi tuwaone?Wanaume hamna jema na wanawake
waseme tu wamefuliaWanaume hamna jema na wanawake
kichaga...mmmmhhh!!kichina!!
Mmmhhh!!!ngoja nimuite baby wangu atafsiri!kichaga...
Nusu uchi wanavaaje?Sa mbona mnajipendekeza pendekeza hadi mnavaa nusu uchi tuwaone?
Mkae peke yenu bas
Umeshanielewa ila huo ni utundu wako tu!Nusu uchi wanavaaje?
usafi kichwani anahela ya kumpa abadili styl kila baada ya wiki 2? wao wana lalama haohao wabahiri.Mmmh jaman, Ata biblia imesema wanawake wajirembe, sasa cjui ww wa kijiji gan, tatizo LA mkewe c msafi usuke rasta had zinuke ni kukaa nazo Zaid ya mwez chakufanya ww nikumshaur awe msafi bada ya wik mbili au Tatu afumue nywele azisuke, au azioshe hizo nywele zikiwa zimesukwa na zikauke, vipodoz muhimu ila apake ambavyo haviaribu ngoz yake na kumbadilisha muonekano wake, kua na kucha ndefu Sawa ila kwa mwanamke kucha ndefu ni uchafu ila kucha ndefu zasaidia katika kupetpet, mwanaume nenda na wakat, watakutunzia wenzako