MUSUMIFYCOM
Member
- Nov 28, 2012
- 55
- 28
hiyo ...ni kwel mheshimiwa lowasa.....ni chaguo la wengi....
WASOMI VYUO VIKUU WAMPONGEZA LOWASSA.
Ndugu watanzania na wananchi wote , awali ya yote tunapenda kuwasalimu wazazi na walezi wetu.
kwanini WANAVYUO TUNAMUUNGA MKONO mh LOWASSA.?
Mh lowassa amekuwa waziri mkuu wa muda wa miaka mitatu 2005-2008.
ni wazir mkuu ambaye ameacha TAIFA likimukumbuka kwa mazuri aliyofanya ndani ya miaka mitatu, utendaji wake ulionekana.
Na kila kiongozi wa serikali alimfananisha mh EDWARD LOWASSA NA SOKOINE.
KAMA WANAFUNZI WA VYUO, Tumetafakari sana kuhusu sakata la RICHMOND , TUMEGUNDUA YAFUATAYO.
1.lowassa ana busara za hali ya juu sana, alikubali kujiuzuru kwa sababu hakupenda MACHAFUKO YATOKEE NCHINI.
NA AMESEMA WAZI MBELE YA VYOMBO VYA HABARI, RICHMOND WANAOHUSIKA NI VIONGOZI WA JUU YAKE.
hivyo kama wanavyuo tulisema tangu mwanzo nchi yetu inahitaji RAIS jasiri, hodari, mwenye busara hekima, na ambae atafanya maamuzi magumu pale nchi yetu itakapokuwa na changamoto nyingi.
Tunahitaji rais wa TANZANIA sio rais wa CUF, CCM, CHADEMA, NCCR,
TUNAHITAJI RAIS WA JAMHURI MUUNGANO WA TANZANIA.
Tunampongeza lowassa kwa kushuka ktk gari ambayo imejaa wezi , wanajipendekeza wanafiki,na kuungana na WATANZANIA KUDAI UHURU WA KWELI NA MABADILIKO YA NCHI YETU.
ni ukweli usiopingika MH LOWASSA ANAKUBALIKA NA VYAMA VYOTE NCHINI, WATANZANIA WOTE, WAFANYAKAZI, WALIMU NA WATA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO.
ila tumegundua lowassa akubaliki n wezi wachache ambao hawazidi 30,hapa TANZANIA.
HIVYO BASI TUNAAMIN NI WAKATI SASA WA TANZANIA KUWA NA KATIBA INAYORUHUSU MGOMBEA HURU , KWA SABABU WANACHI TUMECHOKA VYAMA KUTUCHAGULIA RAIS TUNAHITAJI KUCHAGUA RAIS WETU SIO WAO.
TUNA MUUNGA MKONO LOWASSA , KWA MOYO WOTE NA WATANZANIA WANA IMANI NA WEWE.
asanteni.
By katibu mstaafu vyuo vikuu iringa.
Fmusumi.
To you the younger generation and leaders of tomorrow, I must tell you, that, Pioneers never live to see or enjoy fruits of their labor, they establish new trails so you can all safely pass through.
We are living in a new era. Era of "New World Economic Order" an era whereby where only the strong survive!
Even though my days have numbered, my struggle for equality between stronger and weaker nations will never stop. My struggle for fairness between nations will never stop. My Struggle for comparative Economic Advantage, and social justice will live on. My fight against corruption will never stop. I will never compromise these principles as long as I live.
I may never live to see my beautiful country enjoy its comparative economic advantage, but my children, my grandchildren and millions of young people in my country, fed-up with lifelong corruption, mismanagement and social injustice will. This is what, I m living for. I am living for Economic and social liberation
Well, this is what pioneers do!
Dr. Wilbrod Peter Slaa,
Keynote Adress: Purdue University,
April, 2015
WASOMI VYUO VIKUU WAMPONGEZA LOWASSA.
Ndugu watanzania na wananchi wote , awali ya yote tunapenda kuwasalimu wazazi na walezi wetu.
kwanini WANAVYUO TUNAMUUNGA MKONO mh LOWASSA.?
Mh lowassa amekuwa waziri mkuu wa muda wa miaka mitatu 2005-2008.
ni wazir mkuu ambaye ameacha TAIFA likimukumbuka kwa mazuri aliyofanya ndani ya miaka mitatu, utendaji wake ulionekana.
Na kila kiongozi wa serikali alimfananisha mh EDWARD LOWASSA NA SOKOINE.
KAMA WANAFUNZI WA VYUO, Tumetafakari sana kuhusu sakata la RICHMOND , TUMEGUNDUA YAFUATAYO.
1.lowassa ana busara za hali ya juu sana, alikubali kujiuzuru kwa sababu hakupenda MACHAFUKO YATOKEE NCHINI.
NA AMESEMA WAZI MBELE YA VYOMBO VYA HABARI, RICHMOND WANAOHUSIKA NI VIONGOZI WA JUU YAKE.
hivyo kama wanavyuo tulisema tangu mwanzo nchi yetu inahitaji RAIS jasiri, hodari, mwenye busara hekima, na ambae atafanya maamuzi magumu pale nchi yetu itakapokuwa na changamoto nyingi.
Tunahitaji rais wa TANZANIA sio rais wa CUF, CCM, CHADEMA, NCCR,
TUNAHITAJI RAIS WA JAMHURI MUUNGANO WA TANZANIA.
Tunampongeza lowassa kwa kushuka ktk gari ambayo imejaa wezi , wanajipendekeza wanafiki,na kuungana na WATANZANIA KUDAI UHURU WA KWELI NA MABADILIKO YA NCHI YETU.
ni ukweli usiopingika MH LOWASSA ANAKUBALIKA NA VYAMA VYOTE NCHINI, WATANZANIA WOTE, WAFANYAKAZI, WALIMU NA WATA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO.
ila tumegundua lowassa akubaliki n wezi wachache ambao hawazidi 30,hapa TANZANIA.
HIVYO BASI TUNAAMIN NI WAKATI SASA WA TANZANIA KUWA NA KATIBA INAYORUHUSU MGOMBEA HURU , KWA SABABU WANACHI TUMECHOKA VYAMA KUTUCHAGULIA RAIS TUNAHITAJI KUCHAGUA RAIS WETU SIO WAO.
TUNA MUUNGA MKONO LOWASSA , KWA MOYO WOTE NA WATANZANIA WANA IMANI NA WEWE.
asanteni.
By katibu mstaafu vyuo vikuu iringa.
Fmusumi.
wanavyuo wa siku hizi wanaofalia suruali matakoni na akili zao vivyo hivyo
Hiyo ...ni kwel mheshimiwa lowasa.....ni chaguo la wengi....