Outsiders Member Joined Apr 22, 2024 Posts 26 Reaction score 33 Jul 4, 2025 #1 Najiuliza kwanini wanasiasa wengi ambayo tayarii walikua wakiyatumikia majimbo yao kwa miaka mingi zaidi ni wagumu kuwaachia watu wengine wenye nia ya kutumikia wanainchi ? Mfano: majimbo haya Bumbuli,, Rufiji,, n.k??
Najiuliza kwanini wanasiasa wengi ambayo tayarii walikua wakiyatumikia majimbo yao kwa miaka mingi zaidi ni wagumu kuwaachia watu wengine wenye nia ya kutumikia wanainchi ? Mfano: majimbo haya Bumbuli,, Rufiji,, n.k??