Wanajeshi hao walianza kuingia toka juzi, na wanakuja mahsusi kwaajili ya mazoezi ya kijeshi kwa nchi tano za jumuiya ya Afrika mashariki. Mazoezi hayo yatafanyikia mikoa ya kilimanjaro na Tanga na yatadumu hadi septemba 26.operasheni hii ya aina yake inaitwa kilmanjaro, kazi kwenu!