Serikali imepagawa tu, wanadhani kuwa wanafunzi watarudia ule mgomo wa 2000 - ambao ulishirikisha wanafunzi wa vyuo vyingi vya elimu ya juu (sio mlimani pekee). Sidhani kama kwa sasa vyuo vina watu kama kina Mkili (RIP), Zitto, yule mkurya wa kibiti, Mkangara, yule dada VP wa mlimani sijui alikuwa anaitwa nani ...nk