Xuma JF-Expert Member Jul 14, 2010 683 196 Sep 30, 2012 #3 wampinda said: vijijini mbona kawaida! Click to expand... Kweli kabisa mi nakumbuka nilikuwa nawaona wababa wengi wakiwabeba watoto wao toka niko chekechea kule kijijini kwetu!
wampinda said: vijijini mbona kawaida! Click to expand... Kweli kabisa mi nakumbuka nilikuwa nawaona wababa wengi wakiwabeba watoto wao toka niko chekechea kule kijijini kwetu!
Facilitator JF-Expert Member Oct 30, 2010 2,280 1,763 Sep 30, 2012 #5 Bulesi said: Iko mbaya gani kumbeba mwanao? Click to expand... Hakuna mkuu. Ni mapenzi tu.
M Mrdash1 JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,375 336 Sep 30, 2012 #6 Xuma said: Kweli kabisa mi nakumbuka nilikuwa nawaona wababa wengi wakiwabeba watoto wao toka niko chekechea kule kijijini kwetu! Click to expand... Kweli kabisa lakini style ya ubebaji ni tofauti, wababa wana wakalisha watoto mabegani na kuwashika mikono juu kwa juu au wakati mwingine watoto hujishikiza kwenye vichwa vya baba zao
Xuma said: Kweli kabisa mi nakumbuka nilikuwa nawaona wababa wengi wakiwabeba watoto wao toka niko chekechea kule kijijini kwetu! Click to expand... Kweli kabisa lakini style ya ubebaji ni tofauti, wababa wana wakalisha watoto mabegani na kuwashika mikono juu kwa juu au wakati mwingine watoto hujishikiza kwenye vichwa vya baba zao