Wanachokililia tamwa na wadau wengine

Kweli kabisa mi nakumbuka nilikuwa nawaona wababa wengi wakiwabeba watoto wao toka niko chekechea kule kijijini kwetu!

Kweli kabisa lakini style ya ubebaji ni tofauti, wababa wana wakalisha watoto mabegani na kuwashika mikono juu kwa juu au wakati mwingine watoto hujishikiza kwenye vichwa vya baba zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…