GEE2PATEL
Senior Member
- Oct 24, 2018
- 139
- 293
Kipindi cha Mkapa alikuwepo mtu mmoja anaogopwa na kila mtu yaan Augustine Lyatonga Mrema, akapiga kelele weee maandamano ya kila wakati weee , kuhamasisha fujo weee, lakin mwisho wake akatulia,
Kipindi hicho cha Mkapa pia akaibuka Profesa Lipumba akapiga kelele weee Ngangari ngangari Cuf Ngangari Vijana Ngangari wakaandamana wakamtukana mzee Mkapa weee, wmisho wa siku kimyaaa
Akaja Kikwete , hapa waliopiga kelele ni wengi , alianza Lipumba akapiga keleleeeee akaja Slaa akapiga keleleeeeee kina Mnyika na kubenea ndo usiseme, lakin sasa wote kimya
MBAYA ZAID WAKIWA KIMYA KUAZNIA MREMA , LIPUMBA, SLAA NA WENGINE WANASALIMU AMRI KWA CCM wanakuwa wapoleeeee hahaha
Kuna jamaa mmoja yuko pale kwa nina Lukaku anapiga kelele sana na mbaya zaidi hajui anatetea nini ni kelele tu, ni kama ng'ombe aliyepangwa kuchinjwa wakamkata kidogo wakamkosa kosa atakimbilia kwa majirani na kila anayekutana naye anamdhuru, mbaya zaid huyu sasa ....... hatari sana
hizi nawaambia ni kelele tu na zitaisha
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Kipindi hicho cha Mkapa pia akaibuka Profesa Lipumba akapiga kelele weee Ngangari ngangari Cuf Ngangari Vijana Ngangari wakaandamana wakamtukana mzee Mkapa weee, wmisho wa siku kimyaaa
Akaja Kikwete , hapa waliopiga kelele ni wengi , alianza Lipumba akapiga keleleeeee akaja Slaa akapiga keleleeeeee kina Mnyika na kubenea ndo usiseme, lakin sasa wote kimya
MBAYA ZAID WAKIWA KIMYA KUAZNIA MREMA , LIPUMBA, SLAA NA WENGINE WANASALIMU AMRI KWA CCM wanakuwa wapoleeeee hahaha
Kuna jamaa mmoja yuko pale kwa nina Lukaku anapiga kelele sana na mbaya zaidi hajui anatetea nini ni kelele tu, ni kama ng'ombe aliyepangwa kuchinjwa wakamkata kidogo wakamkosa kosa atakimbilia kwa majirani na kila anayekutana naye anamdhuru, mbaya zaid huyu sasa ....... hatari sana
hizi nawaambia ni kelele tu na zitaisha
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL