Walimu wanasikitisha sana

Nduu nyuzi nyingi kumwandama mwalimu....

Kutafuna wanafunzi
.........
Kupigwa mikopo umiza.......
Foreni kazi tume uchanguzi....



Njaaa mwl hatari Sana
Kuwa mwl. Tz ni tatizo, unakataliwa na jamii nzima ukianzia na Serikali kuhakikisha unafanikiwa chakula cha siku tu! Na siyo zaidi ya hapo. Sipati picha maisha yao yatakuwaje baada ya October 28, 2020!
 
Kuna People humu zinashadadia Mambo Utafikiri,, Hawana Akili Timamu hivi,, Hizi Harakati za Kusimamia Uchaguzi Mambo Ya sensa mbona ni Issue za walimu tangu Enzi za awamu ya Mkapa tatizo jamiiF imevamiwa na vitoto vilivyobarehe Mwaka 2020, Basi kila kitu Kwao ni Kipya.
 
Tuoneeni huruma basi jamani mbona mnatuandama sana walimu, kwani tuliwakoseaga nini wajameniii
 
Nduu nyuzi nyingi kumwandama mwalimu....

Kutafuna wanafunzi
.........
Kupigwa mikopo umiza.......
Foreni kazi tume uchanguzi....



Njaaa mwl hatari Sana
Umesahau kupigwa anapistaafu.
Kuuziwa magari mabovu.
Kuibiwa na Malaya.
Nk
 
"If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. If an elephant has its foot on the tail of a mouse and you say that you are neutral, the mouse will not appreciate your neutrality" - Desmond Tutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…