madogo mnazingua, vitu vidogo vidogo kama hivi!!!!
ipo hivi, kila payment ambayo unapaswa kulipia huwa na a\c no yake special kwa mfano ada ina ac # yake, direct cost ac #, ndio unabidi uangalie unataka kulipia kama ada basi utatumia ac # za ada ambazo zimewekwa kabisa mara nyingi ni NMB na CRDB UDOM hutumia