Wale mnaofahamu kinyiha msaada tafadhali

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
72,402
Reaction score
191,520
habari wadau,
Natumaini humu ndani tupo watu wa kabila tofauti.Ningependa mtu anisaidie kuntafsiria hii lugha ya kinyiha ikibidi nijifunze kidogo. Nitatoa baadhi ya maneno ama sentensi hapa chini:

1.Unnee nakutogwa vinonu
2.Wee kuchii ulo lakn
3.Ha izangulole umoyo umakwend imbio
4.Unne nakutogwa
5.Wee mwanitu..ndo vene nakupozya
6.Uwiii kutiuli lakin
7.Umaninte mwanitu weee iyali yne kas inonu
8.Hahahaha. . kuchi
9.Nakosi iyam vne nikule mwee nkubalie mwanitu
10.Unkubalie we umwana wa kuminu
11.Nikupozye mwanitu....isikuchi twazile kumaali nikupozyee ichindu
12.Npypzee..........umwana wa kukaya
13.Uwewe sasa ndo umbozye
14.Unene nakutogwa vinonu umanite
15.Nmanite vnonu
16.Natela uni
17.Isiku tuwazile kumaali ungapozye ichindu
18.Pa mulungu tuwalae kusinza
19.Mbangile mwanitu
20.Nachimwi
21.Unne nilikwali ad uzua
22.Kaliu tulikwali
 
Naomba nisaidie kutafsiri na haya wakuu:

1.Unnee nakutogwa vinonu
2.Wee kuchii ulo lakn
3.Ha izangulole umoyo umakwend imbio
4.Unne nakutogwa
5.Wee mwanitu..ndo vene nakupozya
6.Uwiii kutiuli lakin
7.Umaninte mwanitu weee iyali yne kas inonu
8.Hahahaha. . kuchi
9.Nakosi iyam vne nikule mwee nkubalie mwanitu
10.Unkubalie we umwana wa kuminu
11.Nikupozye mwanitu....isikuchi twazile kumaali nikupozyee ichindu
12.Npypzee..........umwana wa kukaya
13.Uwewe sasa ndo umbozye
14.Unene nakutogwa vinonu umanite
15.Nmanite vnonu
16.Natela uni
17.Isiku tuwazile kumaali ungapozye ichindu
18.Pa mulungu tuwalae kusinza
19.Mbangile mwanitu
20.Nachimwi
21.Unne nilikwali ad uzua
22.Kaliu tulikwali
 
Si kinyiha hiki ni kinyamwanga
 
Me najua kinyiha,kiswahili na najarbu kizungu,na naweza kutafsri kupita humo,hicho ulichokiandika skijui....
Dah mbona kazi, kuna jamaa alietangulia mwanzoa alintafsiria ila naona hajatokea awamu hii. Nina shida sana ya kujua hicho kilichoandikwa hapo juu ili nikamilishe report kichwani mwangu.
 
1.Vinginevyo neno uliloandika waseka lisomeke waseha meaning umecheka.

2.na hili la pachiweluka...lisomeke pacheruka meaning jumamosi...iza navwamba hiki sio kinyiha...nikulole isomeke inkulole meaning nikuone..

Nahisi hiko ni kinyamwanga sio kinyiha japo kuna ukarbu wa baadhi ya maneno kufanana...bahati mbaya mim sjui kinyamwanga


Hayo yaliyofuata siokinyiha.
 
Hiki pia sio kinyiha kama sio kimalila basi kisafwa.....kinyiha sio kigumu...
 
Huyo mtu ni wa kutoka kijiji cha mkwajuni songwe. Mbozi huko.
 
Yeye alijitambulisha kama mnyiha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…