Wale mafudi wa perving blocks

tunauza kwa squear mita na mita moja ni tsh17500,na ukihitaji zitengenezewe nyumbani kwako ni maelewano tu popote tunakuja ukituhitaji.
 
Utaratibu wenu kama unahitaji kutengenezewa nyumbani uko vipi?, kuanzia pisi ngapi, na mchanganuo wa gharàma kwa ujumla.
 
Kwa wale wanaohitaji kuwekewa perving majumbani mwao karibuni tuwahudumie wasiliana nasi kwa 0745688572 au whatsuppy no 0653985824 pia tunasafiri mpaka mikoani kwa wale wanaohitaji twende mikoani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…