Wakenya walioajiriwa wanaolipwa zaidi ya Tsh. 2M kwa mwezi hawazidi 9,000 nchi nzima

Wacha ujinga wewe, Kenya wafanyakazi wote(Public + Private) Sectors ambao wanaolipwa zaidi ya Tshs 2M hawazidi 9000, huku Tanzania jumla ya wafanyakazi wanaopokea hiyo pesa inazidi 5000
Ebu tuonyeshe hio 9000 umetoa wapi? 😂😂😂😂 Wewe ni pumbavu wa kuzaliwa.
 
Dude, mbona kitu ni simple ku comprehend hapo, Tz is huge, some places cultivate more some consume more, therefore prices huvary
 
Meaning, hapo rukwa penye unapata kg 100 kwa 25k.
You can divide and get de price of maize (ugali) on yourself, same kg of maize in mwanza 100kg inacost 60k.
You divide those prices, utapata bei ya mahindi mwanza ni juu zaidi ya rukwa, sasa unapouliza swali la kutaka kujua price ya unga in Tz, lazima zitofautiane. Sasa sijui unabisha nini.
Bcoz ugali is equivalent to mahindi, ni mahindi yaliyosagwa.
 
failed state, wakunya wanafurahia kuona GDP kubwa tu na supermarket wasikoweza kwenda kununua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…