Wakati ATCL itakapo break even huenda ni wajukuu zetu ndio watakaokuwa hai kushuhudia sherehe za kubreak even

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,493
8,727
Kumekuwa na watu wanao pinga ununuzi wa ndege kwa factor nying mno na wapo pia wanao unga mkono lwa factor nyingi mno.

Wote kila mmoja ana point kwa kulingana na anavyo waza.

Ila jambo moja kuu ni kwamba kwa triend ilivyo hadi sasa Ndege zinanuniliwa bila Business plan na tunazigeuza kama maua pale Air port.

Kwa kizazi kilichopo sasa huwenda hakitakuwepo wakati ATCL ina Break even make si chini ya miaka 100 kutoka sasa.

Hakuna mwenye kuishi umuri wa kobe hapa hivyo hatutakuwepo wote Duniani si wanao pinga na wala si wanao unga mkono.

Biashara ya ndege ni ngumu jamani Mashirika ya Waarabu wanachukua pesa ya mafuta wanaingiza kwenye ndege.

Huenda wajukuu wetu ndi wakaja kushuhudia ATCL ili break even
 
Kumekuwa na watu wanao pinga ununuzi wa ndege kwa factor nying mno na wapo pia wanao unga mkono lwa factor nyingi mno.

Wote kila mmoja ana point kwa kulingana na anavyo waza.

Ila jambo moja kuu ni kwamba kwa triend ilivyo hadi sasa Ndege zinanuniliwa bila Business plan na tunazigeuza kama maua pale Air port.

Kwa kizazi kilichopo sasa huwenda hakitakuwepo wakati ATCL ina Break even make si chini ya miaka 100 kutoka sasa.

Hakuna mwenye kuishi umuri wa kobe hapa hivyo hatutakuwepo wote Duniani si wanao pinga na wala si wanao unga mkono.

Biashara ya ndege ni ngumu jamani Mashirika ya Waarabu wanachukua pesa ya mafuta wanaingiza kwenye ndege.

Huenda wajukuu wetu ndi wakaja kushuhudia ATCL ili break even
Lengo sio kupata break even point.....ni kupata watalii wakutosha ndo faida yetu itakapo patikana
 
Lengo sio kupata break even point.....ni kupata watalii wakutosha ndo faida yetu itakapo patikana
Kwenye nchi nyingi zinazofanya biashara ya usafiri wa anga si kwa ajili ya kupata faida au break even (a point where there is no loss and profit respectively) Bali ni kwa ajili ya kuwezesha kwenye shughuli za utalii, ufanyaji biashara na uwekezaji. Faida ni priority ya mwisho.
 
Kumekuwa na watu wanao pinga ununuzi wa ndege kwa factor nying mno na wapo pia wanao unga mkono lwa factor nyingi mno.

Wote kila mmoja ana point kwa kulingana na anavyo waza.

Ila jambo moja kuu ni kwamba kwa triend ilivyo hadi sasa Ndege zinanuniliwa bila Business plan na tunazigeuza kama maua pale Air port.

Kwa kizazi kilichopo sasa huwenda hakitakuwepo wakati ATCL ina Break even make si chini ya miaka 100 kutoka sasa.

Hakuna mwenye kuishi umuri wa kobe hapa hivyo hatutakuwepo wote Duniani si wanao pinga na wala si wanao unga mkono.

Biashara ya ndege ni ngumu jamani Mashirika ya Waarabu wanachukua pesa ya mafuta wanaingiza kwenye ndege.

Huenda wajukuu wetu ndi wakaja kushuhudia ATCL ili break even

Ndege zote kama hazikuuzwa zitakuwa vyuma chakavu within the next 20 years maximum.
 
Lengo sio kupata break even point.....ni kupata watalii wakutosha ndo faida yetu itakapo patikana
Kwa ivo mashirika yote ya ndege duniani yalianzishwa ili kupata watalii wa kutosha?? Yale mashirika ya binafsi watafaidika nini na watalii wanaowabeba kama hawaleti faida ya moja kwa moja kwa shirika husika?
 
Back
Top Bottom