Lipo jamaa moja huku kwetu,ukiliangalia linakichwa kikubwaaa! Ila jinga kweli.nilishabiki la yule mheshimiwa wa mahakama kutoka magharibi mwa tz,linasema anakokwendamheshimiwa na lenyewe hukohuko,nilipolichunguza,kumbe Lina ukabila na udini,ilepropaganda ya ccm ya udini na ukabila ililiteka ndiyo maana naliita llijinga.sasa hili nalo siku si nyingi litasema lilikuwa katibu mwenezi wa chadema linahamia act,linasubiri mheshimiwa atangaze nia ya kuhamia act.