GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,505
- 5,953
๐ต๐ค๐ค๐ค๐ป๐ผ๐ง๐ค๐ค๐ค๐ค๐ต
Naanza kuwaza/Ujinga wa hawa
mafaza.๐ถ
Sisi ni wa afya bora/wao wa isiyo imara
Tupo mbali sana/wao nyuma kinoma
Tutatoa misaada/ikitokea kwao maafa๐ผ๐ต
Wako gizani/nuru hawana asilani
Si mchina mjerumani/wote twawaona hayani
Watutazama kwa hiyana/haya maajabu twayafanya
Malaria sugu hatuna/wao yawatafuna
Ukimwi tunaponya/wa siyo macho kuona๐น๐ต๐ต
Mabeberu si mabwana/kwetu sisi ni wavulana๐ธ๐ต
Tazama wetu vijana/hawaendi kwao kusoma๐จ๐ต๐ต
Waomba,omba sana/mpaka twawachoka hahaaha๐๐
Vipi kuhusu korona/wao wazidi pukutika๐ท๐ท๐ถ
Sisi afya tumeimarisha/watuomba ifurumisha๐๐๐ถ
Itali inaangamia/sisi tunasubiria๐ฏ
Kwetu ikifika/corona๐ท๐ท twaipukutisha
Tuna madaktari imara/India yatuhara
Tukusanyike misafara/Tuisifu yetu Sera
๐บ๐ท๐ถ๐ถ
Wajinga nyinyi/hamtuoni sisi
Tu matajiri/kila mmoja ala firigisi
Mu dunia ya pilipili/sisi ya kwanza halisi
Corona aina ya kirusi/kilicho tengenezwa na sisi๐๐๐
Imani yetu imara/Twafahamu ya mola
Tusubiri ikiripuka/Kama tutawaita
Mipaka kufunga/Tusubiri malaika
Ajali ikifika/saa na dAkikia tutaifurumisha!!!๐๐ถ๐ถ๐ต
Wajinga wazungu/akili iliyo na ukungu
Sisi ni walimu/mwakosa ufahamu๐ถ
Hamuijui afrika/sisi twaitikisa!!!
Tanzania ya dunia/afrika yajivunia๐ถ
Technolojia yakua/vingi twa vumbua.๐ผ
๐ถ๐ต
Wazungu wazungu/acheni majungu
Akili za beberu/mjinga waruwaru.๐ถ๐ถ
******sent using daraja LA mfugale*****
Naanza kuwaza/Ujinga wa hawa
mafaza.๐ถ
Sisi ni wa afya bora/wao wa isiyo imara
Tupo mbali sana/wao nyuma kinoma
Tutatoa misaada/ikitokea kwao maafa๐ผ๐ต
Wako gizani/nuru hawana asilani
Si mchina mjerumani/wote twawaona hayani
Watutazama kwa hiyana/haya maajabu twayafanya
Malaria sugu hatuna/wao yawatafuna
Ukimwi tunaponya/wa siyo macho kuona๐น๐ต๐ต
Mabeberu si mabwana/kwetu sisi ni wavulana๐ธ๐ต
Tazama wetu vijana/hawaendi kwao kusoma๐จ๐ต๐ต
Waomba,omba sana/mpaka twawachoka hahaaha๐๐
Vipi kuhusu korona/wao wazidi pukutika๐ท๐ท๐ถ
Sisi afya tumeimarisha/watuomba ifurumisha๐๐๐ถ
Itali inaangamia/sisi tunasubiria๐ฏ
Kwetu ikifika/corona๐ท๐ท twaipukutisha
Tuna madaktari imara/India yatuhara
Tukusanyike misafara/Tuisifu yetu Sera
๐บ๐ท๐ถ๐ถ
Wajinga nyinyi/hamtuoni sisi
Tu matajiri/kila mmoja ala firigisi
Mu dunia ya pilipili/sisi ya kwanza halisi
Corona aina ya kirusi/kilicho tengenezwa na sisi๐๐๐
Imani yetu imara/Twafahamu ya mola
Tusubiri ikiripuka/Kama tutawaita
Mipaka kufunga/Tusubiri malaika
Ajali ikifika/saa na dAkikia tutaifurumisha!!!๐๐ถ๐ถ๐ต
Wajinga wazungu/akili iliyo na ukungu
Sisi ni walimu/mwakosa ufahamu๐ถ
Hamuijui afrika/sisi twaitikisa!!!
Tanzania ya dunia/afrika yajivunia๐ถ
Technolojia yakua/vingi twa vumbua.๐ผ
๐ถ๐ต
Wazungu wazungu/acheni majungu
Akili za beberu/mjinga waruwaru.๐ถ๐ถ
******sent using daraja LA mfugale*****