Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,284
- 2,593
Kampuni pendwa vp bei ikojeView attachment 3646292
Kwa hii Redmi hapa Wamepitliza Aiseeh 👋
Kuna simu mpya ya Redmi inakuja lakini uwezo wake sasa 🔥🔥, inaweza kuifanya iwe moja ya simu zenye battery kubwa zaidi kwenye flagship za mwaka huu.
Redmi K100 Pro Max 9,070mAh 🔋 + 185Hz ⚡ kwenye simu moja?! 🔥📱 inakuja ikiwa na battery kubwa sana, display ya 185Hz na 200MP camera! 😳
kwa ufupi tu:
🔥 9,070mAh Battery
⚡ 100W Fast Charging
📱 185Hz AMOLED Display
☀️ Hadi 4,500 nits brightness
📸 200MP Main Camera
🔭 50MP Periscope + 5× Optical Zoom
🚀 Snapdragon 8 Elite Gen 5
🔊 Bose-tuned 2.1-channel speakers.
𝗛𝗶𝗶 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝗶𝗺𝗲𝗸𝘂𝗷𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗶𝗴𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗽𝗼𝘄𝗲𝗿 𝗯𝗮𝗻𝗸 𝗸𝗮𝗯𝗶𝘀𝗮 😂🔥 𝗨𝗻𝗴𝗲𝗶𝗻𝘂𝗻𝘂𝗮? 👀👇
😀😀😀😀😀 Hapana bhana ni Teknolojia tuI dont trust anything from china, kushindanna na powerbank ili iweje, hili linaweza likawa bomb💣
😁😁 Subiria inatoka Agosti 11 mwaka huu 2026Hizi sifa ni za kufikirika mno, itabidi nione ndio niamini, maana hilo battery linatisha sana.
😀😀 Yani ukiwa unatumia bila stressUkichaji umechaji
Bei yake hawajaweka wazi subiria itakavyoachiwa Mwezi huu Agosti 11 ndo tutakuaKampuni pendwa vp bei ikoje
Kama itakuwa nyembamba isiwe nene sasa kama bontelBei yake hawajaweka wazi subiria itakavyoachiwa Mwezi huu Agosti 11 ndo tutakua
Ngoja tuone Boss wakavyoachiaKama itakuwa nyembamba isiwe nene sasa kama bontel