WAISLAMU WASIOFUNGA RAMADHAN HUKO SENEGAL

Status
Not open for further replies.

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Wakati Waislamu kote duniani wanajiandaa kusherehekea sikukuu ya Idd ul fitr siku ya Jumatano ikiwa ni kuhitimisha kilele cha mwezi mzima wa ibada pasi na kula wala kunywa kuanzia alfajiri hadi jioni, Waislamu wa Dhehebu la Baye Fall wanaofuata itikadi ya Sufi hawaamini katika KUFUNGA kwani Imani yao inawataka wajinyime na kuwalisha jamii wasiojiweza wanaofunga WAKIAMINI kwamba thawabu wanazopata ni kubwa mno kuliko kujenga misikiti 1000@@.
pichani wanaonekana wakiwa wamebeba masinia ya vyakula kuwapelekea wanaofunga...........


 
Yeah ni jambo zuri,maana kama mtu unafunga huku kichwani ukiwaza futari upike nini kati ya maini na samaki ilhal kuna wenzako hawana hata uhakika wa uji na unawaona ila unajifanya kichwa ngumu unafunga nini kama sio kushinda njaa?kama imani yao yawaruhusu sidhani kama ni tatizo.
 
nikajua Eid kesho kumbe siyo!
 
Hahaaaaa kuna watu wametukanwa mchana wa jua kali hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…