Yeah ni jambo zuri,maana kama mtu unafunga huku kichwani ukiwaza futari upike nini kati ya maini na samaki ilhal kuna wenzako hawana hata uhakika wa uji na unawaona ila unajifanya kichwa ngumu unafunga nini kama sio kushinda njaa?kama imani yao yawaruhusu sidhani kama ni tatizo.