kitu hauna maslahii nacho unatangaza tu!
sasa kama kawatunuku lakini wenyewe hawajahitimu wapo nyumbani wewe unakomaa tu!
ila ndio tulivyo wa tz jambo dogo utalikuza iliwatu waonekane wabaya maofisini wafukuzwe kazi
wakati hili nijambo dogo la kumalizika, sijui mnapenda watu wafukuzwe kazi