Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
na single za 'wenye mimba zisizotarajiwa' na 'mawaziri wapumbavu' mbona umezisahau?
Nadhani ingekuwa busara kama na wewe ungeazisha thridi yako ukaweka hizo sigle zako,ni mtazamo tu.
mwache mwenye thread aseme basi..
Kaka hapa napitaBUNGE MODERN TAARAB inawakaribisha mashabiki wake kwenye uzinduzi wa albam yao mpya kabisa iliyobeba nyimbo kali.
1. Mkuki kwa nguruwe... ( Anna Makinda)
2. Mimba zisizotarajiwa (Livingstone Lusinde)
3. Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa ( Juma Nkamia)
4. Come on f** you (Peter Serukamba)
5. Toka nje shenzi (Ndungai J).
6. Kibanda ni nani? (Wassira)
Wahi uzinduzi na nunua nakala halisi ili kuwainua wasanii nchini.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Bunge Modern Taarabu inawakaribisha mashabiki wake kwenye uzinduzi wa albamu yao mpya kabisa iliyobeba nyimbo zifuatazo:
1. Mkuki kwa nguruwe . (Anne Makinda) 2. Mimba zisizotarajiwa (Livingstone Lusinde) 3. Siongei na mbwa, naongea na mwenye mbwa ( Juma Nkamia) 4. Come on fu you (Peter Serukamba) 5. Toka nje shenzi (Job Ndugai).
Wahi uzinduzi na nunua nakala halisi ili kuinua uchumi wa wasanii hawa walioko bungeni.
Nimeipata Tanzania Daima 8/5/2013 kutoka kwa Mwl mkuu wa watu: Rais wangu Kikwete
Kama kuna nyingine ongezeeni ili kunogesha albamu. Kuna hii: Liwalo na liwe(Pinda)