Wahaya Mmezidi sifa sasa😂

Joshua Mbezi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,506
Reaction score
2,900
Leo nilikuwa nimeketi zangu ubalazani kutokana na heka heka za mvua iliyonyesha Leo tangu Asubuhi Hadi arasili kwahiyo watu wengi hatukufanikiwa kufika kwenye maeneo yetu ya kutafutia riziki tumeshinda nyumbn

Kwahiyo katika kusogeza muda nikaamua niwashe redio bhana mara ghafla yakaanza matangazo ya vifo , hapa ndipo nilipochoka likatolewa tangazo la msiba la mtu muhaya wa huko Bukoba ila kilichonichekesha na kunishtua taarifa ya msiba uliotokea inatumwa kwa watu wanaoishi kwenye mataifa yafuatayo 😂

_Belgium
_Sweden
_Kenya
_Turkey
_German
Na ikumbukwe kuwa redio inayotoa Tangazo Hilo masafa yake hayavuki mikoa 2 sasa nikajiuliza kama masafa tu ya hyo redio ni hafifu kiasi hicho kulikuwa na ulazima Gani wa kutangaza redion?

Aisee wahaya nimewavulia kofia😂🙌🫡
 
Mkuu mbona teknolojia imekua sana unaweza sikiliza redio kupitia njia nyingi sana tofaut na hayo mafrequency sjui fm am
halafu akisikia mmoja wa ndugu au jamaa anaweza wasiliana nae huyo wa nchi za mbele

i
 
Mimi nakushangaa wewe. Wewe unaonekana wa kizamani sana. Hakuna jambo kubwa hapo. Kuwa na ndugu wanaoishi Germany, Turkey etc siyo jambo kubwa kwa sasa. Masafa ya hiyo Refio hata kama yanaishia ndani ya mkoa huo haiamanishi kuwa taarifa haitawafikia walengwa, labda kama huelewi Technologia ni Nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…