Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,506
- 2,900
Leo nilikuwa nimeketi zangu ubalazani kutokana na heka heka za mvua iliyonyesha Leo tangu Asubuhi Hadi arasili kwahiyo watu wengi hatukufanikiwa kufika kwenye maeneo yetu ya kutafutia riziki tumeshinda nyumbn
Kwahiyo katika kusogeza muda nikaamua niwashe redio bhana mara ghafla yakaanza matangazo ya vifo , hapa ndipo nilipochoka likatolewa tangazo la msiba la mtu muhaya wa huko Bukoba ila kilichonichekesha na kunishtua taarifa ya msiba uliotokea inatumwa kwa watu wanaoishi kwenye mataifa yafuatayo 😂
_Belgium
_Sweden
_Kenya
_Turkey
_German
Na ikumbukwe kuwa redio inayotoa Tangazo Hilo masafa yake hayavuki mikoa 2 sasa nikajiuliza kama masafa tu ya hyo redio ni hafifu kiasi hicho kulikuwa na ulazima Gani wa kutangaza redion?
Aisee wahaya nimewavulia kofia😂🙌🫡
Kwahiyo katika kusogeza muda nikaamua niwashe redio bhana mara ghafla yakaanza matangazo ya vifo , hapa ndipo nilipochoka likatolewa tangazo la msiba la mtu muhaya wa huko Bukoba ila kilichonichekesha na kunishtua taarifa ya msiba uliotokea inatumwa kwa watu wanaoishi kwenye mataifa yafuatayo 😂
_Belgium
_Sweden
_Kenya
_Turkey
_German
Na ikumbukwe kuwa redio inayotoa Tangazo Hilo masafa yake hayavuki mikoa 2 sasa nikajiuliza kama masafa tu ya hyo redio ni hafifu kiasi hicho kulikuwa na ulazima Gani wa kutangaza redion?
Aisee wahaya nimewavulia kofia😂🙌🫡