wageni wengine bwana

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,914
Reaction score
2,142
wageni wengine noma mwenyeji:utakunywa nini? soda au chai mgeni nitakunywa soda wakati nikisubili chai ichemuke!mwenyeji:hapa kuna sprite na coca nikupe ipi?mgeni:nipe coca ,sprite niwekee kwenye friji iendelee kupoa. mwenyeji:nikupe mkate au maandazi?mgeni:nipe maandazi kwanza mkate nitakula na chai ikichemuka.jioni ilipofika mwenyeji:nikuandalie chipsi mayai au kuku?mgeni:niandalie chipsi kuku kwanza,mayai naomba uchemshe10 ili nishushie na ile sprite
 

Mkuu nimecheka sana...
 
.....wewe una kisa na mbavu zangu maana nimecheka kama mtoto mdogo.......lo!!! Thanks.....
 
Dah, mimi namfukuza home unless awe babangu au mamangu mzazi
 
Huyo mgeni kama dustbin kila kitu anatupia tumboni. Akikaa siku tatu mwenyeji wake atakuwa ameishiwa.
 
angefurai ningempa chai bila sukari koka ningemchanganyia kiroba mwisho wa siku unamlabua chezea kipato wewe!:rockon:
 
hahaha 'nitakunywa soda kwanza nikisubiri chai ichemke' umetisha sana mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…