Wadangaji wameongezeka maradufu (2016-2018)

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,225
Reaction score
39,712
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani chakula.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) asee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba mamcho si watu wema.
 
Ukiwaambia ukweli wanasema wanaume hawana hela. Ukweli ni kuwa hakuna mwanaume atadumu na slay queen.
Hata kama mwanaume anapesa.. mqanamke ukishaanza kuonyesha tabia za udangaji mwanaume anakuona malaya. Anakutema
 
Sikubhz hawaangalii sura!!ni pochi nene...
Na huwa wanazila na ikifika wakati wa kuwala pia huwa tunakula kwa fujo sana hadi wanajuta kuzaliwa.
 
Ninakuomba kwa jina la imani ya dini ninayoifuata mimi acha kutumia neno ambalo sisi tunalitumia katika ibada zetu !! Nakuomba sana .
 
Hili neno "SUNNA" umelitumia kwa maana ipi hapo?
Sijaelewa unamaanisha nini?
 
Unajua maana ya kudanga ????
 
Wanawake wanaofanyakazi maofisini mostly nao ni makahaba tu kama wale wanaojipanga barabarani tofauti yao hawa wa ofisini wao wamesoma na degree zao za chupi,wana exposure,english nyingii lkn wote wananunuliwa kwa vipesa vya kijinga jinga,vi party,pombe,mizinga ya hapa na pale.

Inshort wote wanauza K tu ila kwa staili tofauti tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…