Wadada hii ni kweli?

Wanaume jamani mnalialia kugharamia. Kama huwezi acha hujalazimishwa.
Yanini unatoa huku unaumia roho?
 
Kwa kuhudumia na mimi najitahidi aisee... in fact, hiyo ndio hobbie yangu! Short and clear, mkono mtupu haulambwi

😱😱😱😱😱 le mtegoz....
 

Asante kwa kufafanua vizuri. Nimekuelewa Capt.
 
Kumbe fb nako wanakuwa na piint ukiacha kuweka yale mapicha kibaoooooo na kuunga picha kwenye srin moja huu ni bonhe na la ujumbe
 
absolutely yes.....co wanataka kula tuuuu vya bure ...vzur vna gharama
 
Wanaume jamani mnalialia kugharamia. Kama huwezi acha hujalazimishwa.
Yanini unatoa huku unaumia roho?

Wa jinsia ya kiume tuna matatizo at tyms.. Umlale mtoto wa watu usimpe hela ya sabuni ajisafishe je ni sawa...!? Ukiwa mbinafsi kaa peke yako acha upimbi ili wenye kujua kugawana walee mademu zenu mbaki mnaitwa shemeji
 
mwamaume lazima uchunwe/uhonge/ugharamikie.............hata wanyama na ndege ni mahayawani but jogoo lazima aite mtetea,,,, akibofyabofya pale anachutama mwenyewe,,, jogoo lajikunja na kujinyoosha shwariii......hatukwepi hili.......
 
mwanaume asiyejielewa ndo anahonga kwenye mahusiano...na we mwanamke ambaye mpaka uhongwe ndo umpende mtu jua kuwa una kajiasili cha kujiuza..
 
Kwa mazingira kama haya dada zetu watatumika kama toileti paper maana wanakosa uwezo wa kuwa na kuwa na maamuzi Katika mahusiano kwa sababu tu akipata kidume anafikiria kuhongwa vitu vya gharama na anaweka akirini mwake kuwa amepata pa kuchuna kuwa na mawazo kama haya ni hasara mbeleni ndo mwisho wa siku wanalalamika hakuna wa kuwaoa kumbe msingi wamejiharibia wenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…