Wakaka acheni ujinga,ukitaka dem wa peke yako mgharamia nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume,usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa,kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze,sasa kama ww niwale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy pls ukiwekanicheki" umekwisha,anakueleza shida zakeunasema "mpnz vumilia nakuombea upatekazi" kaka umeisha,1 ujue ulivokata simu umefatiwa na bonge la msonyo ka sio tusi,yani ww ka ni wale wa baby mwezi huu mambo yangu hayako sawa,nakuapia unagongewa,unamuona dem wako kasuka,kapendeza na hana kazi umekazana byb umependeza,we ---- ujue mume mwenzio kaweka nguvu.so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana,service inakua kwa anayehudumia..hakuna dem wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.foward kwa wakaka wote,inauma ila ndo ukweli.
-
ETI WADADA HII NI YA KWELI JAMANI?
Read more at
Websta - the best Instagram web viewer online (Webstagram)