suuza rungu
Member
- Jul 29, 2015
- 60
- 17
Wana ukawa nawaomba tuache maneno mengi ya malumbano na hawa chama mzee cha ccm kwani kulumbananao ni sawa na kupoteza muda kwenye mchezo wa bao hali ya Kuwa watu wapo makazini wanapiga hela
Ushauri wangu kwa wanachama na wapiga kura wote wa ukawa ni huu
Wakati ndio huu zimebaki siku chache kufanya maamuzi ya kuwatoa hawa waliotutesa kwa miaka mingi sana
Tushikamane kwa umoja na upendo na tumuombe mungu sana hili jinamizi lishindwe kwa uwezo wa mungu lisirudi tena madarakani
Haya sasa twendeni na wake zetu na watoto zetu tukawamwage ccm mto kagera wakaliwe na mamba
Ushauri wangu kwa wanachama na wapiga kura wote wa ukawa ni huu
Wakati ndio huu zimebaki siku chache kufanya maamuzi ya kuwatoa hawa waliotutesa kwa miaka mingi sana
Tushikamane kwa umoja na upendo na tumuombe mungu sana hili jinamizi lishindwe kwa uwezo wa mungu lisirudi tena madarakani
Haya sasa twendeni na wake zetu na watoto zetu tukawamwage ccm mto kagera wakaliwe na mamba