ukisha kula 10% vikao vya nini tena... Hayo ndo mawazo ya watanzania wengi walio ndani ya serikali na CCM. Ndiyo maana hata wakiwa bungeni utasikia wanajadili mavazi ya akina mama huku madini yanaibiwa, hawana hata aibu!! Shame on you Ngeleja na wenzako.... Hivi mnadhani hata mjilimbikizie madini na fedha mpaka mjaze mabenki...mtakufa nazo?? Kwani Mobutu seseseko yuko wapi?? CCM mjiulize haya maswali... Mzee mkapa!! Huo mgodi kumbuka hata ukifa tutautaifisha na wamiliki wake wakati huo tutawafunga jela!! Shauri yako!!