Cossovo,maswali mengine bhana
Waliwekeza kwenye matusi na kususa sasa kibao kimewageukiaYa 2020 ndio kali zaidi, hadi panya na mende mnaowafuga pale ufipa watawahama safari hii.Vitu vingine havivumiliki mtu mmoja anaamuru watu atakavyo,mara hakuna kuingia Bungeni mara mfanye hiki bila vikao,bora abaki yeye na genge lake linalonufaika na uwepo wake kama m/kiti huku wakitumbua mifedha.
Dr Slaa Alikuwa Mbunge!Wabunge waliohama chadema mwaka 2015
Zitto kabwe
Amfri
Machemli
Mustapha akonai
Mashinga
Chiku abwayo
Dr slaa
Wabunge wa viti maalum wengine nimewasahau majina
Madiwani ni wengi sana siwezi kuwataja hapa
Swali ni je, kinachotokea sasa hivi cha wabunge wa Chadema kuhama ni kipya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi mna uwezo wa kupinga aamuwalo Jiwe? Kinachowahamisha ni njaa tu hakuna kingine!Ya 2020 ndio kali zaidi, hadi panya na mende mnaowafuga pale ufipa watawahama safari hii.Vitu vingine havivumiliki mtu mmoja anaamuru watu atakavyo,mara hakuna kuingia Bungeni mara mfanye hiki bila vikao,bora abaki yeye na genge lake linalonufaika na uwepo wake kama m/kiti huku wakitumbua mifedha.
Zzk alifanyiwa figisu na mwamba.Wabunge waliohama chadema mwaka 2015
Zitto kabwe
Amfri
Machemli
Mustapha akonai
Mashinga
Chiku abwayo
Dr slaa
Wabunge wa viti maalum wengine nimewasahau majina
Madiwani ni wengi sana siwezi kuwataja hapa
Swali ni je, kinachotokea sasa hivi cha wabunge wa Chadema kuhama ni kipya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Cdm kwanini mnaiga hayo?Nyinyi mna uwezo wa kupinga aamuwalo Jiwe? Kinachowahamisha ni njaa tu hakuna kingine!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale sisiem mtu mmoja ndio Mungu mtu. Neno lake ndio sheriaYa 2020 ndio kali zaidi, hadi panya na mende mnaowafuga pale ufipa watawahama safari hii.Vitu vingine havivumiliki mtu mmoja anaamuru watu atakavyo,mara hakuna kuingia Bungeni mara mfanye hiki bila vikao,bora abaki yeye na genge lake linalonufaika na uwepo wake kama m/kiti huku wakitumbua mifedha.
Imekufa? Sasa hujuma ni za nini mnazowafanyia ikiwa Imekufa?Chadema ilianza kufa zamani haya ni mazishi kumbuka utabili wa Stephen Wasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi nyinyi mnaosigina katoba ya nchi bila ya kufuata sheria mna lipi lá maana?Ya 2020 ndio kali zaidi, hadi panya na mende mnaowafuga pale ufipa watawahama safari hii.Vitu vingine havivumiliki mtu mmoja anaamuru watu atakavyo,mara hakuna kuingia Bungeni mara mfanye hiki bila vikao,bora abaki yeye na genge lake linalonufaika na uwepo wake kama m/kiti huku wakitumbua mifedha.
Kama majina yanatambulisha uraia basi wewe na wengine mngekuwa kule ziliko Alqaeda, Alshabab au Boko Haram au Rawalpindi...
Wabunge waliohama chadema mwaka 2015
Zitto kabwe
Amfri
Machemli
Mustapha akonai
Mashinga
Chiku abwayo
Dr slaa
Wabunge wa viti maalum wengine nimewasahau majina
Madiwani ni wengi sana siwezi kuwataja hapa
Swali ni je, kinachotokea sasa hivi cha wabunge wa Chadema kuhama ni kipya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya 2020 ndio kali zaidi, hadi panya na mende mnaowafuga pale ufipa watawahama safari hii.Vitu vingine havivumiliki mtu mmoja anaamuru watu atakavyo,mara hakuna kuingia Bungeni mara mfanye hiki bila vikao,bora abaki yeye na genge lake linalonufaika na uwepo wake kama m/kiti huku wakitumbua mifedha.
Dr Slaa Alikuwa Mbunge!
Ni Kura ngapi mlipoteza Kwa kuwapoteza hao watu!
Nyinyi mna uwezo wa kupinga aamuwalo Jiwe? Kinachowahamisha ni njaa tu hakuna kingine!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoandika kana kwamba upo chooni unajiaibisha,ulitamani CHADEMA watekeleze ujinga wa ccm,hebu tuambie mlimpa simon group uda na akakopa kupiti a Mali za uda hilo deni ni LA uda au simon group,mbona ccm mnaendekeza njaa,maufuli amekopa Kwa siri mkopo wa kibiashara,unataka kutuambia mwenyeakili ataungana na huo upumbavu,Ya 2020 ndio kali zaidi, hadi panya na mende mnaowafuga pale ufipa watawahama safari hii.Vitu vingine havivumiliki mtu mmoja anaamuru watu atakavyo,mara hakuna kuingia Bungeni mara mfanye hiki bila vikao,bora abaki yeye na genge lake linalonufaika na uwepo wake kama m/kiti huku wakitumbua mifedha.