mwangahikaji Member Joined May 14, 2013 Posts 98 Reaction score 35 Feb 17, 2014 #1 Hivi ni kwa nini Wabunge nao wasivae majoho kama Madiwani? naona wah. wabunge maalum la katiba wanavyohangaika kushona suti hapa Dodoma lakini pia kuleta uniformity kwa wah wabunge wetu wote
Hivi ni kwa nini Wabunge nao wasivae majoho kama Madiwani? naona wah. wabunge maalum la katiba wanavyohangaika kushona suti hapa Dodoma lakini pia kuleta uniformity kwa wah wabunge wetu wote
Baba Joseph17 JF-Expert Member Joined Jul 15, 2013 Posts 9,518 Reaction score 9,792 Feb 17, 2014 #2 Bora wavae sare za vyama vyao tu. Ili kupunguza gharama za kushona majoho maana watataka pair 6 kila siku wabadilishe hafu yatakuwa bei ghali.
Bora wavae sare za vyama vyao tu. Ili kupunguza gharama za kushona majoho maana watataka pair 6 kila siku wabadilishe hafu yatakuwa bei ghali.