mkenya mkweli
Member
- Apr 5, 2011
- 37
- 2
hakuna wakenya huko?[B said:mkenya mkweli[/B];1819036]juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.
nimewakuta wabongo wengi ajabu halafu wachafu sana wanalala kwenye park karibu bandarini.niliskia wanongeo kiswahili basi nikawakaribia, katika mazungumzo niliwauliza wanafanyaje pale,eti wanangoja kupanda meli waeende zao ulaya.wengine eti wamengoja miaka kumi pale bandarini.wote wale walikuwa watanzania.sijui kama serikali yenu Tanzania inajua kuhusu hawa jamaa zetu,maana ni wengi ajabu.
hakuna wakenya huko?
Kinshasha Wabongo wapo kibao, Capetown wapo kibao, Nairobi wapo kibao, Harare wapo, Accra wapo kibao - Wabongo wako all over Africa wanatafuta maisha! Waache waendelee kuhangaika kwa ajili yao na familia zao - Labda kama umezoea udaku!
After all, wewe ulienda Durban "kuonyeshwa bandari... blah blah.."?
Nenda Summit Club pale Johannesburg ukaone mabinti Wa kikenya walivyojipanga kuuza miili yao usiku. Usikalie tu kuwasema wabongo dada zenu wanawadhalilisha sanaKusema kweli,sikuona mkenya,nimefanya kuwauliza wapi kunapatikana wakenya wakadai wakenya wapo lakini kidogo ngumu kuwapata.wakanionyesha baa ya mkenya moja na kuniambia usiku usiku hivi wakenya wanapatikana pale.
hao wabongo wanadai eti ni mabaharia
mkenya mwongo, you suffer from an inferiority complex!juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.
Nenda Summit Club pale Johannesburg ukaone mabinti Wa kikenya walivyojipanga kuuza miili yao usiku. Usikalie tu kuwasema wabongo dada zenu wanawadhalilisha sana
mkenya mwongo, you suffer from an inferiority complex!
ndio kinshasa wapo,harare wapo lakini wanaishi vizuri.sio wachafu wakunuka na vibaka.na sio udaku,ila am trying to put the matter on the table,may be there are some politician in this forum, good Samaritans or even authority whom they can consider this issue and put it forward to the necessary body/establishment per se
hahhahaha!! nilitegemea jibu kama hiliKusema kweli,sikuona mkenya,nimefanya kuwauliza wapi kunapatikana wakenya wakadai wakenya wapo lakini kidogo ngumu kuwapata.wakanionyesha baa ya mkenya moja na kuniambia usiku usiku hivi wakenya wanapatikana pale.
hao wabongo wanadai eti ni mabaharia
Nenda Summit Club pale Johannesburg ukaone mabinti Wa kikenya walivyojipanga kuuza miili yao usiku. Usikalie tu kuwasema wabongo dada zenu wanawadhalilisha sana
for failing to confront the truth about yourself and instead trying to see others as less fortunate than you are. that's a complex, bro!in what manner and how?expound