Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
samahani ndugu, nilikuwa sijui, kumbe wewe ni atheist, kama sivyo basi uelewa wako utakuwa ni mdogo sana, kwa hiyo tatizo lako ww liko hapo, kumbe unapost hapa vitu usivyo na uelewa navyo. Siku zote jitahidi kupost tu yale unayoyajua na kuyaamini, leo nishie hapo hapo
Halloween ni sikukuu ya wamarekani tena basi watoto huvaa mavazi ya kitamaduni na kufanya maonyesho mashuleni, tena basi hufanywa na watoto kuanzia Nursery mpaka Grade 4 tu, hiyo huwa asb na pia usiku hupita wanagonga milango majumbani kwa watu na wanapewa candle, hivyo ni kuabudu mizimu ya kimarekani, kwani hutengeneza masanam ya aina mbali mbali na kupamba nje ya nyumba zao
Haloween imekuwepo kabla hata Amerigo Vespucci hajavumbua americaHalloween ni sikukuu ya wamarekani tena basi watoto huvaa mavazi ya kitamaduni na kufanya maonyesho mashuleni, tena basi hufanywa na watoto kuanzia Nursery mpaka Grade 4 tu, hiyo huwa asb na pia usiku hupita wanagonga milango majumbani kwa watu na wanapewa candle, hivyo ni kuabudu mizimu ya kimarekani, kwani hutengeneza masanam ya aina mbali mbali na kupamba nje ya nyumba zao
Kumbe Natalia ni schoolmate wangu? Mbona sikumbuki kucelebrate Halloween au maybe kumbukumbu zangu sio nzuri? Ulisoma kwenye kimviringo pale kati or kule juu kwa masista? Pia kumbuka Forodhani nursery iliendeshwa na wasista wa kizungu labda ndo sababu wenzetu mliweza kuijua Haloween mapema. Umesoma wapi ?na unakaa wapi ?1979 forodhani nursery school tulikuwa tuna celebrate Halloween .
Hee mviringo na kigauni cha blue.Kumbe Natalia ni schoolmate wangu? Mbona sikumbuki kucelebrate Halloween au maybe kumbukumbu zangu sio nzuri? Ulisoma kwenye kimviringo pale kati or kule juu kwa masista? Pia kumbuka Forodhani nursery iliendeshwa na wasista wa kizungu labda ndo sababu wenzetu mliweza kuijua Haloween mapema
Halloween na Krismasi havichekani.
Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga
La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.
Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.
Mwisho wa siku chondechonde mtasikia Dar Gay Parade!
Mie sina undugu na burlesk
Inaonekana kuna mengi zaidi ya hili usoyajua, kama unaweza kuunganisha in a "non sequitur manner uongo wa Krismasi kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu (uongo ambao waumini wengi wa dini ya kikristo ambao si atheists wanaujua na kuusema kwamba ni uongo) na atheism.
Shauo zote kumbe hata hujui unachoandika, sivyo.
Wako wa kuunganisha vitu kwa non sequitur ndo mkubwa hewalla.
Freakin one dimensional miniature burlesk brewing billowing calcified cacophonies of common calumnies.
Halloween na Krismasi havichekani.
Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga
La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.
Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.
...........ukafiri hajifichi !
Nchi tajiri wanaweza hata kusema wanachochea chumi zao, watu wanunue madubwana hela iongezeke kwenye mzunguko.
Nchi masikini mna import mpaka maputo na pipi, mtateteaje "extravagance" hii kama anavyoiita Janjaweed?
Bongo maisha yenyewe halloween tosha, halafu mnatafuta halloween bado?