Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 344
- 124
Leo ukiingia social media karibu zoote utaona mara ooh Halloween hiv Halloween vile cjui nini nini, co mbaya lakini Vijana wa cku hzi kuiga sana na being Fake mezidi au ndio tujue DSTv yenu ina Disney Channel huangaliagi Channel 10, Halloween huko bwana mtoni bongo ni cku tu kama cku zingine wewe mwenzangu na mimi kwe2 Kipawa inakuhusuje?
...haloween ndo nini? Me mshamba mwenzenu...
kama huna cha ku-post hapa, soma coments za wenzako, tembea kuliko kuandika upuuzi kama huu uliopostHalloween na Krismasi havichekani.
Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga
La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.
Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.
kama huna cha ku-post hapa, soma coments za wenzako, tembea kuliko kuandika upuuzi kama huu uliopost
I had Halloween party on saturday ,50 adults and kids we had a lot of fun.tulivaa consumes .Ni nzuri kwa watoto nilivaa my cat woman costumeLeo ukiingia social media karibu zoote utaona mara ooh Halloween hiv Halloween vile cjui nini nini, co mbaya lakini Vijana wa cku hzi kuiga sana na being Fake mezidi au ndio tujue DSTv yenu ina Disney Channel huangaliagi Channel 10, Halloween huko bwana mtoni bongo ni cku tu kama cku zingine wewe mwenzangu na mimi kwe2 Kipawa inakuhusuje?
kama uko nje ya tanzania sawaI had Halloween party on saturday ,50 adults and kids we had a lot of fun.tulivaa consumes .Ni nzuri kwa watoto nilivaa my cat woman costume
. Umesoma wapi ?na unakaa wapi ?1979 forodhani nursery school tulikuwa tuna celebrate Halloween .Leo ukiingia social media karibu zoote utaona mara ooh Halloween hiv Halloween vile cjui nini nini, co mbaya lakini Vijana wa cku hzi kuiga sana na being Fake mezidi au ndio tujue DSTv yenu ina Disney Channel huangaliagi Channel 10, Halloween huko bwana mtoni bongo ni cku tu kama cku zingine wewe mwenzangu na mimi kwe2 Kipawa inakuhusuje?
I had Halloween party on saturday ,50 adults and kids we had a lot of fun.tulivaa consumes .Ni nzuri kwa watoto nilivaa my cat woman costume
I had Halloween party on saturday ,50 adults and kids we had a lot of fun.tulivaa consumes .Ni nzuri kwa watoto nilivaa my cat woman costume
I live in NY.costume ya Nyerere kibaokama uko nje ya tanzania sawa
ila kama uko tanzania, basi kituko
vipi ukiwa namanyele unaweza kusherehekea hayo?