Ngoja niseme alafu mwisho ntamalizia kwa swali dogo,kuna mradi wa usambazaji umeme vijijini chini ya Rea ila hatuoni wafanyakazi wa Tanesco wakikatwa pesa kufanikisha hili,tunaona kuna chanjo ya rubela na surua imeanza jana ila hakuna mtumishi yeyote wa afya anayekatwa kuchangia chanjo hiyo,aidha tumeona upimaji wa ardhi ukiendelea nchi nzima ila hatujaona watumishi wa ardhi wakibanwa ili kuchangia mpango huo,sasa nauliza tu,imetokea sheria hipi na lini ikaonekana ujenzi wa maabara shuleni eti waalimu wachangie mradi tena kwa mabavu kiasi hicho ama ndo enzi za ukoloni na forms of taxations inarudi upya kwa kuanzia kwenu,ama mna mapesa mengi sana waalimu?
Wengi wa walimu wanatumia vyeti visivyo vyao na hawataweza kamwe kudai haki zao.
Ngoja niseme alafu mwisho ntamalizia kwa swali dogo,kuna mradi wa usambazaji umeme vijijini chini ya Rea ila hatuoni wafanyakazi wa Tanesco wakikatwa pesa kufanikisha hili,tunaona kuna chanjo ya rubela na surua imeanza jana ila hakuna mtumishi yeyote wa afya anayekatwa kuchangia chanjo hiyo,aidha tumeona upimaji wa ardhi ukiendelea nchi nzima ila hatujaona watumishi wa ardhi wakibanwa ili kuchangia mpango huo,sasa nauliza tu,imetokea sheria hipi na lini ikaonekana ujenzi wa maabara shuleni eti waalimu wachangie mradi tena kwa mabavu kiasi hicho ama ndo enzi za ukoloni na forms of taxations inarudi upya kwa kuanzia kwenu,ama mna mapesa mengi sana waalimu?
Waendelee kukatwa tu hawa si ndio mabalozi wa maccm?!
Wew kama hujui huu mpango na waraka wenyew upoje bora ukapga kimya mkuu kuliko kukurupka na kuanza kublame lyk a raped bitch.
Wew kama hujui huu mpango na waraka wenyew upoje bora ukapga kimya mkuu kuliko kukurupka na kuanza kublame lyk a raped bitch.
Hebu tuupe tarifa zaidi ndugu. tutushie waraka huu tupate kuuelewa mpango upoje, maana na sisi wengine tutaanza kukatwa ili kujenga posts za kata!
Wew kama hujui huu mpango na waraka wenyew upoje bora ukapga kimya mkuu kuliko kukurupka na kuanza kublame lyk a raped bitch.
ngoja niseme alafu mwisho ntamalizia kwa swali dogo,kuna mradi wa usambazaji umeme vijijini chini ya rea ila hatuoni wafanyakazi wa tanesco wakikatwa pesa kufanikisha hili,tunaona kuna chanjo ya rubela na surua imeanza jana ila hakuna mtumishi yeyote wa afya anayekatwa kuchangia chanjo hiyo,aidha tumeona upimaji wa ardhi ukiendelea nchi nzima ila hatujaona watumishi wa ardhi wakibanwa ili kuchangia mpango huo,sasa nauliza tu,imetokea sheria hipi na lini ikaonekana ujenzi wa maabara shuleni eti waalimu wachangie mradi tena kwa mabavu kiasi hicho ama ndo enzi za ukoloni na forms of taxations inarudi upya kwa kuanzia kwenu,ama mna mapesa mengi sana waalimu?
naona umesahau haya: Walimu wananunua vitabu vya kufundishia, walimu wananunua chaki, walimu wananunua vifaa vya kufundishia kwa pesa zao. Ingawa si wote ila maeneo mengi iko hivyo. Wapo walimu kibao tu utawasikia ccm hoyee.