nahitaji vyumba viwili vya kuishi maeneo ya mwenge mlalakuwa,mpakani au savei Maji yawepo na nyumba isiwe ya wapangaji wengi pia gari ifike
bajeti 100-120,000 pia kama vipo maeneo ya ubungo Maji vitafaa
thank you
nahitaji vyumba viwili vya kuishi maeneo ya mwenge mlalakuwa,mpakani au savei Maji yawepo na nyumba isiwe ya wapangaji wengi pia gari ifike
bajeti 100-120,000 pia kama vipo maeneo ya ubungo Maji vitafaa
thank you
Kipo savei... Master, sebule na jiko.. Offer ya umeme na maji kwa miezi mitatu ya mwanzo... 180, 000/- per month.. Inbox number kama uko tayari..
The ealier the better
Njoo Kimara kuna vyumba vitatu na choo, Umeme, maji bidii yako jumla yote 180,000/ Parking full secured ,fenced kodi ya mwaka.Mkataba kuanza tar.1/12/2014...Zaidi ya hapo usisumbuke tena.Hakuna Dalali hapo. Piga 0652 617 457 :laser:
Njoo Kimara kuna vyumba vitatu na choo, Umeme, maji bidii yako jumla yote 180,000/ Parking full secured ,fenced kodi ya mwaka.Mkataba kuanza tar.1/12/2014...Zaidi ya hapo usisumbuke tena.Hakuna Dalali hapo. Piga 0652 617 457 :laser: