House4Rent Vyumba kupanga kwa wanafunzi!

kalooo 25594

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
303
Reaction score
195
Kuna chumba cha kinapangishwa maeneo ya makongo karibu na chuo cha Ardhi,kizuri kwa wanafunzi wa vyuo

Kodi ya mwezi ni kama 50,000/= tu hakina udalali kwa wanafunzi wa vyuo kama Ardhi,Udsm,Ubungo na maeneo mengine ya karibu karibuni.

 
Iko chumba au stoo?umeme nyuma ya kichwa ful shot[emoji1787][emoji1787]
Asee mm nlipangishwa chumba huko switch ya kuwasha taa ilikuwa nje.. Mama mwenye nyumba anakuja kuzima taa saa 4 chumba 35k tu
 
Asee mm nlipangishwa chumba huko switch ya kuwasha taa ilikuwa nje.. Mama mwenye nyumba anakuja kuzima taa saa 4 chumba 35k tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]he[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nkipata cha 40 kaka uwe unatupa updates!! Mkataba wangu ni 6 months nalipa bili ya maji na umeme kabisa. Asante
 
Pinga rangi na ufanye marekebisho kidogo kwanza ili itoke kwenye muonekano wa stoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…