mkuu NN afadhali umerudisha picha ya Avatar yako. Yani ulipoweka ile nyingine majuz Yani hata kwenye michango yako tulikuwa hatukufeel kama NN mwenyewe. Komaa tu na hii Avatar picture permanently. Heshima yako mkuu!Sie wengine tulioishia form four wala hatuna tetema kabisa.
seems u r a learned fellerGhafla tu, mapenzi niliyokuwa nayo kwa nchi hii yamejirudia...
umenichekesha sana mkuuDaaaa hata hapa kisuma bar wapiga mizinga wamezidi ukiuliza anakwambia tatizo uhskiki wa vyeti
humo pangon unamoish kwel Internet connection unaitoa wapiwewe? Ama Leo huko centre mnadan kuuza mazaoUkweli lazima uume tu
mkuu NN afadhali umerudisha picha ya Avatar yako. Yani ulipoweka ile nyingine majuz Yani hata kwenye michango yako tulikuwa hatukufeel kama NN mwenyewe. Komaa tu na hii Avatar picture permanently. Heshima yako mkuu!
kuna wakati hata wewe ulipotea humu watu tulianzisha had thread kukuulizia hadi MTAZAMO kila mara akawa anauliza. Uliporudi tu mchango wako wa kwanza nyoyo za watu ziliridhikaHizi avatar aisee zimezoeleka sana humu kiasi ambacho ukibadili tu basi unafuatwa na watu pm wakilalama kwanini umebadili avatar yako na wengine wala huna mazoea nao kihivyo na kukuomba urudishe avatar waliyoizoea. Nina hakika Nyani Ngabu pia kaombwa na watu mbali mbali humu kwamba arudishe avatar waliyoizoea na wanayoipenda pia.
kuna wakati hata wewe ulipotea humu watu tulianzisha had thread kukuulizia hadi MTAZAMO kila mara akawa anauliza. Uliporudi tu mchango wako wa kwanza nyoyo za watu ziliridhika
Hizi avatar aisee zimezoeleka sana humu kiasi ambacho ukibadili tu basi unafuatwa na watu pm wakilalama kwanini umebadili avatar yako na wengine wala huna mazoea nao kihivyo na kukuomba urudishe avatar waliyoizoea. Nina hakika Nyani Ngabu pia kaombwa na watu mbali mbali humu kwamba arudishe avatar waliyoizoea na wanayoipenda pia.
Has haaa haaaa, Leo umekuja kwa heshima sanhumo pangon unamoish kwel Internet connection unaitoa wapiwewe? Ama Leo huko centre mnadan kuuza mazao
Tatizo lako unajidai unaijua Marekan kuliko mtu yoyote yule, Kwan anavosema ataweka mpaka mkubwa Kat yake na Mexico nani atamzuia? Na VIP akiamua kuondoa watu weusi nchini mwake kwa wasiokuwa na uraia, Nani atamzuia?Ukweli gani wewe?
Hivi unadhani Trump akishinda atawafanya nini watu weusi?
Yaani mna fikra za ajabu ajabu kweli.
Atawafanya nini unadhani?
Hujui hata nguvu alizonazo rais wa Marekani lakini upo hapa unahororoja tu.
Eti ukweli....ukweli gani?
Stop being stupid.
Tatizo lako unajidai unaijua Marekan kuliko mtu yoyote yule, Kwan anavosema ataweka mpaka mkubwa Kat yake na Mexico nani atamzuia? Na VIP akiamua kuondoa watu weusi nchini mwake kwa wasiokuwa na uraia, Nani atamzuia?
A R.I.PKuna jirani yangu leo kafariki
"Inshu" ndio nini?Hii inshu inatesa watu jaman!