Michezo ni undugu, urafiki na afya bora.Mkuu usijali, mavi ya kale hayanuki. Hata mimi niliingia katika mtego wa shetani wa kukuchukia wewe kwa lugha zako za kiasherati. Mimi nilishakusamehe toka zamani sana, nasikitika kuona wewe bado una kinyongo na mimi. Mpira ni mpira tu mkuu, usitufanye tukagombana na huku hatujuani hata kwa sura, ni hasara kubwa sana kwetu endapo tutakubali ujinga wa kugombana hapa jukwaani.
Hebu fikiria siku moja tukikutana nami nikajitambulisha kwako kuwa mimi ndiye Makoye Matale na wewe ukajitambulisha kuwa ndiwe grafani11, endapo tutakuwa na ugomvi hapa jukwaani hali itakuwaje? Lakini kama hatuna ugomvi, hali itakuwaje pia?
naona kaushindi ka mikia kamekufufua kutoka katika 'wafu'
naona umbumbumbu wenu mikia Unazid kuongezeka siku hadi siku badala ya kupungua
Mkuu usijali, mavi ya kale hayanuki. Hata mimi niliingia katika mtego wa shetani wa kukuchukia wewe kwa lugha zako za kiasherati. Mimi nilishakusamehe toka zamani sana, nasikitika kuona wewe bado una kinyongo na mimi. Mpira ni mpira tu mkuu, usitufanye tukagombana na huku hatujuani hata kwa sura, ni hasara kubwa sana kwetu endapo tutakubali ujinga wa kugombana hapa jukwaani.
Hebu fikiria siku moja tukikutana nami nikajitambulisha kwako kuwa mimi ndiye Makoye Matale na wewe ukajitambulisha kuwa ndiwe grafani11, endapo tutakuwa na ugomvi hapa jukwaani hali itakuwaje? Lakini kama hatuna ugomvi, hali itakuwaje pia?
Huyu Okwi huyu... ndo maana Yanga wanamchukia sana. Okwi mmoja ni sawa na washambuliaji 3 wa Yanga. the man anacheza kwa kujituma sana yaan ni kama one army man.
sibonike hilo ukiwauliza akina Manji wanalijua wewe tu ndo unakataa hujui namna gan mpaka sasa manji anateseka sana kwa suala la okwi kurudi siba na halaf kuja kuwagonga bao moja lenye kutia uchungu sana pamoja na ulinzi mkubwa aliokuwa amewekewa. simba ni team nzuri tatizo ni siasa ndizo zinazoiangusha kwa sasa ni kama wanaamua leo washinde kesho wafungwe. ila kama wakiwekana sawa Yanga mtapata wakati mgumu sana ile enzi ya kupigwa tano ndo itarud ila kwa sasa yanga mnafurah coz mnafungwa moja 2,3 na sometime mnatoa draw.
Yebo yebo mpo?
Kamuulize Aveva na Sunday Manara wao wanajua jibu la swali lako.Nikumbusheni: Hivi Mnyama akishinda mechi zake zote zilizosalia na Yebo Yebo akafungwa zote zilizosalia, nani atakuwa na points nyingi overall?
Huo uasherati uliosema ni kweli ninakufanyia sasa mwaka wa 3 lakini hakuna zao lolote, bora nigeukie kwa Mgambo labda atanizalia.
Nipo sana ila tu ujenzi wa taifa ndo unanifany napotea potea si unajua hili Taifa unajenga leo kesho ukiamka unakuta baadhi ya sehemu limebomoka hivyo ujenzi wa hili Taifa haushi.
Mwaka huu kweli chama letu limepoteza mwelekeo, inabidi tutafute namna ya kubadilisha namna ya kucheza hii ligi, iwe inachezwa kwa mtoano.
MKUU huwa naingia ila nashindwa kucomment sababu ya wachezaji wetu( Watanzania) kucheza kama wamelazimishwa na Vila determination yoyote wakati ajira ya ni muda mfupi . Hana vision wala mission
Nipo sana ila tu ujenzi wa taifa ndo unanifany napotea potea si unajua hili Taifa unajenga leo kesho ukiamka unakuta baadhi ya sehemu limebomoka hivyo ujenzi wa hili Taifa haushi.
Mwaka huu kweli chama letu limepoteza mwelekeo, inabidi tutafute namna ya kubadilisha namna ya kucheza hii ligi, iwe inachezwa kwa mtoano.
Unadhani mimi wa kufa kama nyinyi?
Au unadhani tunaishi mijini kwa kupiga kelele za kujisifia kupanda ndege karne ya 21 wakati bei ya kupanda ndege na kupanda basi havitofautiani sana. Hata Gwajima mmoja anawashinda kanunua ndege yake wakati wapumbavu wanajisifia kupanda ndege.
Hii ni laana, si kawaida!
Pole sana Mkuu.