Tatizo hata tukishinda mechi zote tunafikisha points 47 wakati yebo tayari wana points 49 apa ni kumuombea azam njaa yapo bado ni ndoto kushika nafasi ya 2
Simba akishinda leo atakuwa na point ngapi ?. Atabakiwa na mechi ngapi kumaliza ligi ?. Atahitaji point ngapi kumfikia Yanga ambaye anaweza kufungwa mechi zote zilizobaki ?