Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,573
- 28,533
Mkuu kwa maelezo yako inaonyesha hela umeituma moja kwa moja kutoka Vodacom kwenda mtandao washirika (mwingine) ambapo ada ya kutumia ni shs 1500 na ada ya kutolea 7000 zimeunganishwa pamoja na kuwa 8500, ambapo yeye uliyemtumia akienda kutoa hatokatwa tena hela, kwa maana nyingine ukitaka kutuma hela chagua kipengele kilichoandikwa mitandao mingine, tena utachagua aina ya mtandao husika wa unayemtumia ndipo utaandika namba yake , hapo utakuwa umekatwa ada husika (kama wewe hapo ni shs 1500) halafu uliyemtumia naye wakati wa kutoa atakatwa ada husika kulingana na kiasi ulichomtumia, hapo sina la zaidi, ahsante kwa kutumia mtandao wa Vodacom.6Xxxxxxxxxx Imethibitisha. Imethibitisha. Tsh400,000.00 zimetumwa kwa 07xxxxxccc tarehe 8/8/19 saa 2:30 PM kwa ada ya Tsh8,500.00. Salio lako la M-Pesa ni Tsh250,771.80.tarehe 8/8/19 saa 2:30 PM kwa ada ya Tsh8,500.00. Salio lako la M-Pesa ni Tsh.....
.
Huo ndo ujumbe nimrpata toka VODACOM kwa kutumia huduma ya Mpesa.
Kutuma laki nne gharama yake 8,500!!!!
Huu ni wizi mchana kweupe.
VODACOM wataacha lini wizi.
Ufafanuzi mzuri mkuu.Mkuu kwa maelezo yako inaonyesha hela umeituma moja kwa moja kutoka Vodacom kwenda mtandao washirika (mwingine) ambapo ada ya kutumia ni shs 1500 na ada ya kutolea 7000 zimeunganishwa pamoja na kuwa 8500, ambapo yeye uliyemtumia akienda kutoa hatokatwa tena hela, kwa maana nyingine ukitaka kutuma hela chagua kipengele kilichoandikwa mitandao mingine, tena utachagua aina ya mtandao husika wa unayemtumia ndipo utaandika namba yake , hapo utakuwa umekatwa ada husika (kama wewe hapo ni shs 1500) halafu uliyemtumia naye wakati wa kutoa atakatwa ada husika kulingana na kiasi ulichomtumia, hapo sina la zaidi, ahsante kwa kutumia mtandao wa Vodacom.
Mkuu kwa maelezo yako inaonyesha hela umeituma moja kwa moja kutoka Vodacom kwenda mtandao washirika (mwingine) ambapo ada ya kutumia ni shs 1500 na ada ya kutolea 7000 zimeunganishwa pamoja na kuwa 8500, ambapo yeye uliyemtumia akienda kutoa hatokatwa tena hela, kwa maana nyingine ukitaka kutuma hela chagua kipengele kilichoandikwa mitandao mingine, tena utachagua aina ya mtandao husika wa unayemtumia ndipo utaandika namba yake , hapo utakuwa umekatwa ada husika (kama wewe hapo ni shs 1500) halafu uliyemtumia naye wakati wa kutoa atakatwa ada husika kulingana na kiasi ulichomtumia, hapo sina la zaidi, ahsante kwa kutumia mtandao wa Vodacom.
Tutaacha kesho6Xxxxxxxxxx Imethibitisha. Imethibitisha. Tsh400,000.00 zimetumwa kwa 07xxxxxccc tarehe 8/8/19 saa 2:30 PM kwa ada ya Tsh8,500.00. Salio lako la M-Pesa ni Tsh250,771.80.tarehe 8/8/19 saa 2:30 PM kwa ada ya Tsh8,500.00. Salio lako la M-Pesa ni Tsh.....
.
Huo ndo ujumbe nimrpata toka VODACOM kwa kutumia huduma ya Mpesa.
Kutuma laki nne gharama yake 8,500!!!!
Huu ni wizi mchana kweupe.
VODACOM wataacha lini wizi.
Mimi nimetuma elf 14 leo nimekatwa elf 1na mia 4Ufafanuzi mzuri mkuu.
Aongezee na hizo screen shot hapo chini.
Angalia sehemu za 400K kolam zote 2.View attachment 1175792
Hata ikiwa voda kwa voda makato palepaleMkuu kwa maelezo yako inaonyesha hela umeituma moja kwa moja kutoka Vodacom kwenda mtandao washirika (mwingine) ambapo ada ya kutumia ni shs 1500 na ada ya kutolea 7000 zimeunganishwa pamoja na kuwa 8500, ambapo yeye uliyemtumia akienda kutoa hatokatwa tena hela, kwa maana nyingine ukitaka kutuma hela chagua kipengele kilichoandikwa mitandao mingine, tena utachagua aina ya mtandao husika wa unayemtumia ndipo utaandika namba yake , hapo utakuwa umekatwa ada husika (kama wewe hapo ni shs 1500) halafu uliyemtumia naye wakati wa kutoa atakatwa ada husika kulingana na kiasi ulichomtumia, hapo sina la zaidi, ahsante kwa kutumia mtandao wa Vodacom.
kunguni wa ulayaMimi nimetuma elf 14 leo nimekatwa elf 1na mia 4
Ninachofahamu mkuu kwa kiasi hicho 8,500 ni makato kama umetuma kwa mteja asiyesajiliwa, kama angekuwa amesajiliwa kiasi ni Tzs 7,000.6Xxxxxxxxxx Imethibitisha. Imethibitisha. Tsh400,000.00 zimetumwa kwa 07xxxxxccc tarehe 8/8/19 saa 2:30 PM kwa ada ya Tsh8,500.00. Salio lako la M-Pesa ni Tsh250,771.80.tarehe 8/8/19 saa 2:30 PM kwa ada ya Tsh8,500.00. Salio lako la M-Pesa ni Tsh.....
.
Huo ndo ujumbe nimrpata toka VODACOM kwa kutumia huduma ya Mpesa.
Kutuma laki nne gharama yake 8,500!!!!
Huu ni wizi mchana kweupe.
VODACOM wataacha lini wizi.