hilo tatizo lipo sana tu,eti ukishajiunga huruhusiwi tena,sijui hawafahamu kuwa kuna kununua simu nyingine ukataka uunge.mimi mara nyingi simu inaingiliwa virus kwahiyo huwa naenda kuiflush na automaticaly ukiflush configuration inajifuta mpaka uunge upya.sasa ukijaribu kuunga inasema,'YOU ALREADY HAVE THIS SERVICE'.
Kwahiyo hapo inabidi utafute line ingine hata kwa kuazima kwa mtu ambae bado hajaiunga line intanet ili uitumie kwa kuiunga simu yako.usumbufu sana.