HAPA TATIZO SIYO VODA MKUU.
Tatizo ni TCRA nchi hii nihatari kukaa bila kuwa na kaofisi na wewe ka kupigia! Kila sehem mlaji wa mwisho niwizi mtupu! Watu ambao wamepewa dhamana ya kusimamia wananchi wamegeuka kuwa wapigaji kwa kuzitumia taasisi, makampui, wadau walio chini yao! Nenda kwenye mabucha! Kilo ya nyama nikama Robo kilo.
Nenda kwenye vyakula vyote vya nafaka iwe 100kg au 2kg lazima upigwe!
Kuhusu Bando za makampuni yte ya sim , cyo voda pekee yao! Sasa hivi makampuni ya simu yanashindana mbinu za kuibia wateja nasiyo kutoa huduma bora kwa wateja. Ndio maana mi sishobokei promo yyte ya makampuni ya sim, maana unaletewa promo lkn mwisho wake nikupigwa!
Mi nadhani NDG KILABA mkurugenzi wa tcra cjui bado yupo pale ajitafakari maana hilo nitatizo sugu!
Sehem nyingine ni gharama za kutoa pesa! Zimepandishwa mara dufu! Kutoka 200 nakuongezwa karibu600 kwenye kutoa elfu kumi .
Sehem nyingine ni kupangiwa matumizi ya kifurushi chako! Hii nayo cjaona haki! Kwanini isingekuwa kama umeme? Mtu unanunua unity zako utajua namna ya kujihudumia.
Hapa tatizo ni TCRA wanashirikiana na makampuni kutafuta GAWIO.