Anayejua kilichowapata Vodacom kwenye data service atufahamishe. Leo ni kama siku ya tano hivi internet yao ipo chini mno yaani ni sawa na hakuna hasa eneo la Kigamboni.
WanaJF
Anayejua kilichowapata Vodacom kwenye data service atufahamishe. Leo ni kama siku ya tano hivi internet yao ipo chini mno yaani ni sawa na hakuna hasa eneo la Kigamboni.
WanaJF
Anayejua kilichowapata Vodacom kwenye data service atufahamishe. Leo ni kama siku ya tano hivi internet yao ipo chini mno yaani ni sawa na hakuna hasa eneo la Kigamboni.
Inasoma 3G au H na H+ lakini signal strength inashuka au kupotea kabisa hivyo internet inakata. Sasa tunaoweka bundle za mwezi inakula kwetu. Hawa jamaa sijui vp.