The Thugs001
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 428
- 916
Kipindi hichi cha mvua ndio Kipindi kizuri cha kutembelea saitiSikuwahi kujua kama kuna viwanja vya mil 1 dar tena vimepimwa
Installment vip?FORODHANI CITY nakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema...
Mitaa yote mbona haina majina ya bara? Au huo mji mmewatengea Wazanzibari?HABARI MRADI MPYA NEW NEW SITE 2023 [FORODHANI TOWN CITY ] VIWANJA VIPYA KISEMVULE KILOMITA 3 WAI SASA MAPEMA UJIPATIE KIWANJA KWENYE ROUND ABOUT FORODHANI CITY KWA 1,300,000 tu.. Karibuni sana katika Mradi wetu mpya...
Ni kweli kabisaKisemvule sio dar, ipo mkoa wa pwani
Eneo la makazi lenye ukubwa wa futi 50 × 40 ni milion 1 na laki tatu za KitanzaniaInstallment vip?
Hati unapata ya kijiji na hatimiliki yako,Vipi kuhusu hati?
Ni kweli Forodhani City majina ya mtaa ni ya znzbar kwa phase one ya mradi huuMitaa yote mbona haina majina ya bara? Au huo mji mmewatengea Wazanzibari?
Hivyo vipimo vipo sahihi kweli mkuu?FORODHANI CITY nakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema,
BEI SASA NI MILIONI MOJA NA LAKI TATU (1300000) TU . Ni Viwanja vizuri sana VIMEPIMWA,
UKUBWA kwa kila kiwanja ni Futi 50 X 40 mil 1.3, futi 80 X 50 (SQM 400)milion 2.6, futi 100 X 80 (SQM 800) milion 5.2.
Viwanja vipo kisemvule mbele kidogo ya mbagala.
ENEO LA Shule limetengwa, Eneo la Stendi limetengwa Eneo la kituo cha afya limetengwa, Eneo la Soko n.k Mji ni wa kisasa zaidi
USAFIRI NI UHAKIKA , kuna daladala za kutoka Gerezani hadi Kisemvule, Tandika hadi Kisemvule, Temeke hadi Kisemvule, kivukoni hadi kisemvule n.k
FIKA KISEMVULE utapelekwa mpaka kwenye mradi wetu bure. Njoo ulipie kiwanja chako, KWA AWAMU TUNAPOKEA .
USAFIRI MBAKA SAITI NI BUREEE NA KUNUNUA HADI URIDHIKE MWENYEWE.
0754553380View attachment 2611427
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Vipo sawa mkuuHivyo vipimo vipo sahihi kweli mkuu?