Viwanja viwanja Morogoro

Kertel

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
5,701
Reaction score
5,630
habarini wakuu,viwanja vinauzwa maeneo ya mkundi karibu na zinakojengwa nyumba kwa ajili ya watumishi umma manispaa ya morogoro.,kiwanja kidogo kabisa kina square mita 575,bei ina range from 3.5m to 4m kadri ya size na hiyo ni bila dalali,
ni pm kwa mawasiliano ya moja kwa moja kwa mwenye viwanja
 
Details hazitoshi, viko vya square meter ngapi na ngapi zaidi ya hicho kidogo? Bei? Etc...?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…