mberege rukiko
Senior Member
- Jul 19, 2016
- 171
- 137
Viwanja vinauzwa vipo kitonga msongola dar es Salaam viwanja vipo karbu na barabara ya lami iundanishayo mbagara na chanika umiliki wa barua ya serikali ya mtaaa unakabidhiwa karbun sana
vina ukubwa gani? bei ipoje?Viwanja vinauzwa vipo kitonga msongola dar es Salaam viwanja vipo karbu na barabara ya lami iundanishayo mbagara na chanika umiliki wa barua ya serikali ya mtaaa unakabidhiwa karbun sana
😀😀😀Bei??? Halafu nenda shule ukajifunze jinsi ya kuandika tangazo la biashara. Nyanoko!!
Akirudi nakufa😀😀😀
Jamani
Kama unatoka mbagara unapanda gar za kwenda chanika unashuka kitonga pia njia ya unaweza kupita njia ya kivule unapanda gar pale banana had flemu kumi kivule hapo unapanda gar za kwenda msongola zen kitongaEleza namna ya kufika viwanja vilipo na contacts za wahusika.
Kama kwenda shule ndo huko bac elimu haijakusaidia ngja ulimwengu utakuweka sawaBei??? Halafu nenda shule ukajifunze jinsi ya kuandika tangazo la biashara. Nyanoko!!
Kwanini usiandike vizuri ili tangazo lako lijiuze lenyewe kuliko kufanya mtu afikirie unamaanisha nini kusema gar,zenKama unatoka mbagara unapanda gar za kwenda chanika unashuka kitonga pia njia ya unaweza kupita njia ya kivule unapanda gar pale banana had flemu kumi kivule hapo unapanda gar za kwenda msongola zen kitonga
Nafanya kulirekebisha kaka nmeandika kwa makosa mengi nitaya sahihisha Asante kwa ushaurKwanini usiandike vizuri ili tangazo lako lijiuze lenyewe kuliko kufanya mtu afikirie unamaanisha nini kusema gar,zen
Naona umemtukana kuzunguBei??? Halafu nenda shule ukajifunze jinsi ya kuandika tangazo la biashara. Nyanoko!!