Vimepimwa au ni squarter..? Nasikia maeneo hayo kuna wezi sana wa viwanja na wanashirikiana na serikali za mitaa. Ukinunua kiwanja ukajkaa miezi mitatu hujaenda kukiangalia unakutana na watu wengine karibia wanne wameuziwa kiwanja chako manaanza kupambana..Mimi ilinitokea na sina hamu tena ya kununua kiwanja ambacho hakijapimwa hasa hayo maeneo.
Vimepimwa au ni squarter..? Nasikia maeneo hayo kuna wezi sana wa viwanja na wanashirikiana na serikali za mitaa. Ukinunua kiwanja ukajkaa miezi mitatu hujaenda kukiangalia unakutana na watu wengine karibia wanne wameuziwa kiwanja chako manaanza kupambana..Mimi ilinitokea na sina hamu tena ya kununua kiwanja ambacho hakijapimwa hasa hayo maeneo.
Ni kweli kabisa. Kiwanja cha jirani yangu vivyo hivyo walimfanyia. Walikiuza kwa Mara ya pili wakishirikiana na Serikali ya Mtaa kisa eti aliacha Muda bila ya kupafanyia usafi. Wakakiuza kwa Mtu Mwingine kwa Bei ya Juu sana tofauti na ya Mwanzo.
Alipokuja wakamwambia kuwa watamtaftia kwngine au wamrudishie hela yake.
Hii imetokea hapo Mingoi. Baada ya Daraja la Bunju na Bagamoyo.
Watu ni wadhulumati Balaa.
Vimepimwa au ni squarter..? Nasikia maeneo hayo kuna wezi sana wa viwanja na wanashirikiana na serikali za mitaa. Ukinunua kiwanja ukajkaa miezi mitatu hujaenda kukiangalia unakutana na watu wengine karibia wanne wameuziwa kiwanja chako manaanza kupambana..Mimi ilinitokea na sina hamu tena ya kununua kiwanja ambacho hakijapimwa hasa hayo maeneo.