Viwanja vinauzwa Mwanza

Viwanja vinauzwa Mwanza

Joined
Oct 21, 2017
Posts
34
Reaction score
7
Viwanja vipo mwanza maeneo ya mkolani nyahingi vina ukubwa wa 19/44mt, 26/42mt vimepimwa na vina hati havina mgogoro.
Kwa mnunuaji anayo fursa ya kununua kiwanja na kuunganisha cha pembeni kulingana na pesa yake.
Bei inaanzia 5,000,000 Hadi 7,500,000.
Wasiliana nasi kupitia namba 0763269695 au 0715910615.
 
Viwanja vipo mwanza maeneo ya mkolani nyahingi vina ukubwa wa 19/44mt, 26/42mt vimepimwa na vina hati havina mgogoro.
Kwa mnunuaji anayo fursa ya kununua kiwanja na kuunganisha cha pembeni kulingana na pesa yake.
Bei inaanzia 5,000,000 Hadi 7,500,000.
Wasiliana nasi kupitia namba 0763269695 au 0715910615.
Ni vyakoo au we ni dalali naweza lipa kwa awamu. Umbali kutoka main road ni Km ngapi
 
Kuna umbali gani kutoka hiyo main road(barabara ya lami)?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom