Viwanja vinauzwa Morogoro

Viwanja vinauzwa Morogoro

mimibilly

Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
35
Reaction score
10
Viwanja vinauzwa vya ukubwa tofauti maeneo ya mkundi na kiegea Morogoro, vimepimwa na vina document zote na zinatolewa na Manispaa ya Morogoro, serious buyer ni pm
 
Mkuu ongeza nyama kwenye tangazo lako kama vile ukubwa wa kiwanja na bei zake, umbali kutoka barabara kuu, maji n.k.
 
Hizo namba ndio za mkurugenzi wa halmashauri au afisa ardhi wa wilaya?
 
Za maafisa ardhi

Kwanini usiweke namba za ofisi na si binafsi? Kama viwanja vinatolewa na halmashauri? sina tatizo na watu binafsi kuuza viwanja ila ikiwa ni watu binafsi basi isemwe hivyo.
 
Viwanja vinauzwa vya ukubwa tofauti maeneo ya mkundi na kiegea Morogoro, vimepimwa na vina document zote na zinatolewa na Manispaa ya Morogoro, serious buyer, call: 0718 513571 na 0785 853297.

Kwani mkuu ukiweka na bei unakosa nini? kutoa maelezo ya ziada yakuwavutia watej unakosea nini? ukisema cheo chako hapo wilayani unakosa nini? kwani unaiba au? wekajamvini mwagaradhi fedha zikumwagikie ohhh
 
kuna jamaa anaitwa Lusekelo nasikia ndo afisa ardhi pale mkoa ngoja nifwatiie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom