flora kiwori
Member
- Oct 14, 2016
- 9
- 2
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa mbezi msakuzi 30000 kwa sqm moja malipo kwa miezi 10.kwa maelezo zaidi njoo pm.
Ndio ni mbezi ya kimara mkuu,kiwanja tunaanza kupima 20*20 na square meter 1 ni 30000 tu na malipo ni kwa miezi 10 kwa taarifa zaidi nicheki 0625990885.asanteMkuu Mbezi Msakuzi ni mbezi ipi..? Ya Kimara..?
Pia naomba kujua bei na Ukubwa wa kiwanja please.
Kwa uzoefu wako mbezi ya kimara bei gani kiwanja cha 20*20?Mkuu naona hujaelewa maana ya vyuma vimekaza. Bei iko juu sana kwa Mbezi ya Kimara. Anyway kwangu mimi asante ngoja waje..!
6m ,kwa 20*20? Hapo ndio imeshuka bei au?I thought around 6M. Mimi budget yangu ni 6M mkuu.!
Ndio ukikamilisha malipo unapata hatiKina hati?kwa bei hyo
In box ya nn bhana ww..? Yani umetangaza biashara hadharani alafu watu waje inbox..!!Viwanja vilivyopimwa vinauzwa mbezi msakuzi 30000 kwa sqm moja malipo kwa miezi 10.kwa maelezo zaidi njoo pm.
Uliza unachotaka hapa na ntakujibu hapaIn box ya nn bhana ww..? Yani umetangaza biashara hadharani alafu watu waje inbox..!!