Viwanja vinauzwa Mbande

Gor

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,791
Reaction score
850
Viwanja vyenye ukubwa vinauzwa Chamazi eneo la Mbande kwa masista, eneo ni tulivu kwa makazi ya binadamu. Tambarare na mwinuko. Ukubwa wa viwanja 50ft x 40ft na bei ni 7,000,000. Mchanga, maji na mafundi na vifaa vya ujenzi viko karibu na kwa bei nafuu.

Mawasiliano. 0718288306. Mr. Ogiro
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…