Viwanja vyenye ukubwa vinauzwa Chamazi eneo la Mbande kwa masista, eneo ni tulivu kwa makazi ya binadamu. Tambarare na mwinuko. Ukubwa wa viwanja 50ft x 40ft na bei ni 7,000,000. Mchanga, maji na mafundi na vifaa vya ujenzi viko karibu na kwa bei nafuu.
Mawasiliano. 0718288306. Mr. Ogiro